kutofanyika kwa uzinduzi wa video yake.
Hii imekija mara baada ya star boy kupata ajari siku ya tarehe 6 juma pili iliyopita akiwa nyiani kuelekea kenye uzinduzi huo akiwa na devy star ambapo walipata ajari njiani.
Star amesema anamshukuru mungu kwa kuwa walipata majeraha madogo madogo tu na kuwaomba radhi mashabiki wake wote waliokuwa wakimsubiri pale bubs siku hiyoo.
No comments:
Post a Comment