Social Icons

Pages

Thursday, May 2, 2013

WANAWAKE BONGO MOVIE VIMINI TENA BASI

Wanawake waigizaji bongo hawaruhusiwi tena kuigiza filamu wakiwa wamevaa vimini kwenye movie yoyote tena. Kupitia bodi ya filamu tanzania imeona ilivalie nyuga suala hili la wanawake waigizaji kuvaa vimini kwani wanavunja maadili ya jamii. Saimoni mwakifwamba amekiri kabisa na ameliunga mkono suala hilo huku akisema sheria mpya hataruhusu kabisa kumuona mwigizaji wa kike kuvaa vimini endapo kama yoyote atavunja sheria hiyo basi hatua kali itachukuliwa dhidi yake na alimalizia kwa kusema saula hilo litasimamiwa na waziriri wa habari na michezo dr fenera mkangara.

No comments:

Post a Comment

 

Sample text

ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG HII

Sample Text

WASILIANA NA DJ LANGA KUPITA SALUMUJUMA9@GMAIL.COM AU 0769523120 0716906250

Sample Text

AMINI KILE UNACHOKIFANYA DAIMA USIKATISHWE TAMAA NA MTU ENDELEA KUSHOW LOVE NA HII BLOG