Thursday, May 2, 2013
WANAWAKE BONGO MOVIE VIMINI TENA BASI
Wanawake waigizaji bongo hawaruhusiwi tena kuigiza filamu wakiwa wamevaa vimini kwenye movie yoyote tena. Kupitia bodi ya filamu tanzania imeona ilivalie nyuga suala hili la wanawake waigizaji kuvaa vimini kwani wanavunja maadili ya jamii. Saimoni mwakifwamba amekiri kabisa na ameliunga mkono suala hilo huku akisema sheria mpya hataruhusu kabisa kumuona mwigizaji wa kike kuvaa vimini endapo kama yoyote atavunja sheria hiyo basi hatua kali itachukuliwa dhidi yake na alimalizia kwa kusema saula hilo litasimamiwa na waziriri wa habari na michezo dr fenera mkangara.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment