Vijana
 wawili kutoka Manzese ndio wanahusika na hii kazi ya kutengeneza na 
kuuza T Shirt zenye Logo ya Tema Mate Tuwachape ambazo mpaka sasa 
wameuza T Shirt Mia Nane. Fahamu kuwa kila pesa wanayotengeneza ni ya 
kwao na Madee hachukui kitu.
Ni bonge la shavu kutoka kwa Madee kwa vijana wake ambao sasa wana maisha bora baada ya mchongo huu kuwatoa kifedha.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment